FAQs

Maswali & Majibu

  • Namna ya Kujisajili

    1. Kwa wamiliki wa Mabasi pakua app ya Stendi Mkononi (Admin)

    2. Kisha bonyeza register ili sijajili Kampuni

    3. Hakikisha Taarifa unazojaza ni za ukweli na kwa usahihi kwani zitatumika baadae ( Jina kamili la kampuni, email ya kampuni, Namba ya Simu ya Kampuni pamoja na Nywila) haishauriwi kutumia namba ya Simu au email ya mtu binafsi

    4. Baadaya ya hapo Stendi Mkononi Itakutumia Mkataba na Kukuruhu Wewe kutumia huduma hio kwa wiki moja ya Majaribio bila malipo yoyote

    5.Baadae ya hapo utapelekwa kwenye kuingia kwenye application ambayo utadaiwa email ya kampuni pamoja na Nywila ya company uliotumia kufanya usajili .

    6. Baadae ya Kuingiza taarifa sahihi ( kama zilizojazwa wakati wa usajili) utaweza kuingia kwenye application na kufurahia huduma

  • Uhakika wa Huduma

    Stendi Mkononi itakupatia wewe mmiliki wa mabasi wiki moja ya majaribio ya Huduma ambayo huduma zote za Stendi Mkononi zitapatikan kwako kwa siku zote saba kuangalia ubora na uhakika wa Huduma zetu bila gharma zozote.

  • Gharama Zetu

    Baadya ya Wiki Moja ya majiribio Stendi Mkononi itakutoza Wewe mmiliki wa mabasi Gharama ya Siti Moja kwa kila basi baada ya kujaza gari zima

    Kama gari halitajaa mahesabu yatafanyika kwa kila siti iliokatwa.

    Kumbuka gharama hizi ni kwa ajili ya kila Basi Utakaloweka kwa ajili ya Ukataji wa ticketi kupitia Mfumo Wetu

  • Vipi kuhusu Mizigo (Parcels)?

    Stendi Mkononi Itakupatia wewe Mmiliki wa Mabasi

    1. Jukwaa Kutunza taarifa za Mizigo

    2. Kuwa patia wateja ticket za mizigo kwa Sms na pia kwenye simu janja zao kupitia Whatsapp

    3. Pia huduma za kuwapa taarifa juu ya Mizigo iliyofika kwenye vituo husika itatolewa

    Gharama baada ya huduma hizi ni Asilimia Kumi ya Bei ya usafirishaji wa mzigo

Newsletter - Get Updates & Latest News

Get in your inbox the latest News and Offers from