FAQs

Maswali & Majibu

  • Kujisajili Agent

    1. Kwa mawakala wa Mabasi pakua app ya Stendi Mkononi (Agent)

    2. Kisha bonyeza register ili ujisajili kama wakala

    3. Hakikisha Taarifa unazojaza ni za ukweli na kwa usahihi kwani zitatumika baadae (Jaza Jina kamili la kampuni kwa usahihi,chagua Mkoa uliopo, Jaza kituo Chako cha ofisini ( ofisi iko wapi) Majina yako Mawili, email yako , Namba ya Simu inayopatikana pamoja na nywila)

    4. Baada ya hapo utasubiri Admin wa Kampuni yako akuidhinishe ili uweze Kutumia application 

    5. Baada ya kuidhinishwa utaweza Kuingia ndani ya application kwa Kuingiza email yako pamoja na nywila

  • Usajili Kwenye Makampuni Mengi

    Stendi Mkononi inaruhusu Mawakala  waliosajiliwa kwenye campuni moja kwa sasa

  • Niko ndani ya app lakini naambiwa niwasiliane na Admin

    Changamoto hio inatokana na Admin kushindwa kulipa fedha za huduma kwa siku husika na  kwa wakati husika baada ya malipo huduma hio itahuishwa na kuendeelea kutumia

Newsletter - Get Updates & Latest News

Get in your inbox the latest News and Offers from