FAQs

Maswali & Majibu

  • Usajili (Mteja)

    1. Kwa Wateja / Wasafiri wa Mabasi pakua app ya Stendi Mkononi

    2. Kisha bonyeza register ili kujisajili

    3. Hakikisha Taarifa unazojaza ni za ukweli na kwa usahihi kwani zitatumika baadae ( Jina kamili , email , Namba ya Simu pamoja na Nywila) 

    4. Baada ya hapo utapelekwa kwenye kuingia kwenye application ambayo utadaiwa email ya pamoja na Nywila uliotumia kufanya usajili 

    5. Baadae ya Kuingiza taarifa sahihi ( kama zilizojazwa wakati wa usajili) utaweza kuingia kwenye application

  • Namna ya Kukata Ticket

    1. Baada ya Kuingia kweye app Mteja ata changua mkoa anaotoka na Mkoa anao elekea

    2. Baada ya hapo atachagua tarehe na muda Wa safari

    3. Baada ya hapo mteja ataona orotha ya Mabasi kisha atachagua basi husika

    4. Baada ya hapo mteja atachagua Siti ambayo ataikalia wakati anasafiri

    5. Baada ya hapo Mteja atachagua Mtandao wa Simu WA malipo kisha atajaza Namba ya Simu itakayofanya Malipo

    6. Baada ya hapo itafunguka kurasa ya Salecom Payment 

    7. Hapa mteja atachagua kulipia kwa kuscan Qrcode ulikufanya malipo au Kuweka namba ya kampuni ya Malipo

    8. Namna Nyigine ya Kufanya malipo ni kwa Kuchagua the mobile Wallet(Push Ussd) 

    9. Ujaza namba ya Simu kama  ni ya Kubadilisha Au utabonyeza kitufe (Request Pin to Phone)

    10 Baada ya Hapo utaona Ujumbe kwenye Simu yako wa kufanya malipo

    11. Baada ya malipo utapokea Sms kutoka StendTicket ya Risiti ya malipo ulifanya

Newsletter - Get Updates & Latest News

Get in your inbox the latest News and Offers from